Pages

Wednesday, November 14, 2012

NATAKA KUIMBA NA WALTER- BEN POL

Matunda ya Bongo star search yameshaanza kuonekana immediately baada ya kumalizika kwa shindano hilo,  ambapo Ben Pol ambaye anatamba na ngoma kadhaa kali kama Nikikupata,Samboira,Pete, na ngoma zingine kali alizopewa collabo sasa amevutiwa sana na Walter Chilambo mshindi wa EBSS.
Latest info kutoka kwa msani huyu ni kwamba baada ya mshiriki wa Epiq bongo Star search ku perfom  vizuri ngoma  yake ambayo inafahamika kwa jina la Nikikupata ndipo Ben pol aliamua kwenda kumpa saluti halafu baadaye akasema kwamba atafanya naye collabo katika ngoma zake zinazokuja.

0 comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

About