Pages

Wednesday, December 12, 2012

NO NAME GROUP KUACHIA NGOMA YAO MPYA"HAND UP"

No name The Group ni kundi jipya ambalo limehusisha ma producer wakali ambao walifanya vizuri katika sanaa ya muziki hapa Tanzania na bado wanaendelea kufanya vizuri ambao ni Dunga,P Funk,Karabani,Lamar na John Mahundi,sasa basi leo  wameachia rasmi ngoma yao mpya inayokwenda kwa jina la Hands Up katika vituo mbalimbali.

0 comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

About