Pages

Monday, November 12, 2012

JUMA NATURE KUFANYA COLLABO NA JAMBO SQUAD


 Wasanii wa kundi la Jambo Squad maarufu kama Mamong”oo manjeree ya ara toka A-Town City wamerudi na ujio mpya kabisa kwenye game.
Round hii wamekuja na ngoma mpya waliomshirikisha kali toka Wanaume Halisi, Juma Kassim Nature. Ngoma hiyo inakwenda kwa jina la “Bondi” huku versre ya kwanza akiwa amesimaa Ordinally, ya pili ni Chalii mtoto wa Bibi na kwenye hook ni mtu mzima Juma Nature.
Ngoma hiyo imetengenezwa na producer  John B alias John Blass toka studio za Grandmaster Records pande za A-Town City soon inatarajia kutoka.

0 comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

About