Pages

Wednesday, August 29, 2012

MISS ILALA TALENT COMPETITION TO BE HELD TONIGHT!

Miss Ilala ya mwaka huu kwa mara ya kwanza katika historia inaandaliwa na Gadner G Habash.. washiriki kutoka vitongoji vya Dar City Centre, Tabata, Ukonga na Mzizima wamekuwa wakifanya mazoezi katika restaurant ya Nyumbani Lounge na leo usiku wataingia katika hatua nyingine ya Kumtafuta Miss Ilala Talent itakayofanyika hapohapo Nyumbani Lounge kuanzia saa mbili usiku
washiriki wakiwa katika opening dance rehearsal na mwalimu wao wa dance



talent competition rehearsal
some of the contestants
contestants with their matron, Sylvia Mashuda Miss Ilala 2008
Me and Sylvia, xoxo my girl



Tuesday, August 28, 2012

Africa Always Lived Around Fashion. We Just Didnt Know We Did... SHELINA

She says, ''In canada, where I live and persue my career as a fashion designer, i try to use most material from home, inorder to bring that essence of 'Uafrika' in my work.''
 ''Inasikitisha that vitu kama khanga, vitenge, kaniki, mashuka ya kimasai, nk ni vitu ambavyo tumeishi navyo kwa generations nyingi lakini hatukujua umuhimu wake na wala hatukua na muamko wa kuvitumia vitu hivyo kujitangaza kiutamaduni, mpaka miaka ya karibuni ndipo tumekuja kujifunza.''
                                                                Our Interview....
                                                     Shelina and Rio Paul.
   ''We have a long way to go, lkn naamini tukiweka malengo sisi kama wabunifu, tutafika tu''-Shelina

WASICHANA WAKIBONGO HATUJIAMINI; NDOMAANA HATUPENDANI- Nuru the Light


If I ever decide to move back to Bongo for good, ningeanzisha organization ya kusaidia wasichana between the age of 11 and 18 because during teenage ndo muda wa kujenga self confidence ya mtu. Wasichana wa kibongo tuna hilo tatizo, hatujiamini, tuna uoga wa kufanya vitu ndomana tunachukiana bila sababu. Ukiona mwenzako amefanikiwa katika sekta flani, you get threatened na badala ya kujitahidi ufike pale ulipo, unajaribu kumjengea chuki ili arudi nyuma.

  Hakuna kitu niachochukia kama haters. Sikatai positive criticism, lakini kuna zile ambazo zinatokana na chuki binafsi. Ndomana kwenye blog yangu siruhusu comments za uchochezi na chuki. Siwapi nafasi watu waliokosa kazi, wanaojichukia wenyewe kumaliza stress zao kwa kuandika hateful comments kuhusu watu wengine.

MARIDADI WORKSHOP AT SLIPWAY



This workshop was conducted basically for the Maridadi fashion show, which will be held right here in Dar, early October. The aim was to teach a few selected models a few things concerning their modelling career. These models will also participate in the fashion show.  






Martin Kadinda speaking to the models about the importance of personal branding

Martin and Gyver

The models during a catwalk rehearsal


Myler during her presentation


MISS UNIVERSE TZ APATA SCHOLARSHIP NEW YORK, USA

 
''Acting has always been my passion. Being the Miss Universe beauty queen has been a stepping stone and a door to many opportunities out there.''

 
''i'm nothing but excited! And i'm thankful that i'm finally going to fulfill my lifetime dream''

Winfrida Dominic during our interview for clouds tv entertainment news

She has been awarded a scholarship to go study film acting in the U.S


Monday, August 13, 2012

LINEX, ''DONT FAKE IT, WAIT TILL YOU GET IT''


Akiwa anakimbiza na video yake ya Aifola kwenye tv stations nyingi Bongo, right now Linex anasema he is thankful kwa mafanikio ambayo ameyapata so far, hakuwahi kuhisi atafika hapo alipo. Lakini pia anaamini siri kubwa ya kuishi kwa amani, hasa unapokuwa star, ni kuwa humble, kujishusha, kuheshimu mashabiki wako na kuukubali ukweli.

   In our interview, Linex said, ''Heshima na kujitambua ni msingi mzuri unaoweza kumfanya mtu aishi poa kwenye umaarufu wake. Cha msingi ni kufanya kazi yako iwe nzuri na watu waikubali kwanza, hayo mengine yote yatafuata baadae. Ndio, kuna umuhimu wa msanii kuishi maisha tofauti na binadamu wa kawaida ili kujijengea image flani, lakini kama mfuko hauruhusu usilazimishe sana. Kama mambo hayajakaa sawa, hakuna haja ya kufake maisha. Bongo bado wasanii hatutengenezi hela kiivyo kiasi cha kutaka kuishi maisha ya ustar uliopitiliza. Subiri utakapojaaliwa kupata, utafanya fujo za aina zote.

WEKEZENI ZAIDI KWENYE UBORA WA VIDEO -RAQEY


Ukizungumzia bongo fashion events huwezi kuacha kumtaja Raqey, one of the biggest and best photographer there is... But he also makes music videos and to my opinion videos zake are unique and they have a different sense of style.

 When I interviewed raqey about making his videos, here's what he had to say, "I believe in making something of quality and not just a video. And I am happy that bongo flava artists wameamka na kuamua kufanya videos outside Tanzania, because we really lack equipments za kutengeneza good videos. Location pia ni tatizo, sehemu nzuri za kufanyia videos zinakuwa expensive so kwa msanii wa kawaida ni ngumu kuafford. Lakini haohao wasanii wakawaida wasidhani anything comes easily, wasikurupuke na million moja wanasema wanataka video. Msanii anatakiwa ajipange, ili akitoa kitu kitoke cha ukweli. Uchumi ni tatizo letu kubwa, basi tulia na kusanya hela. Halafu jipange ili ukitoa video iwe kidogo na hadhi ya kimataifa"

BE CAREFUL WHAT YOU WISH FOR!!!!!!!!!! -ANTONIO NUGAZ


He produces and presents kipindi cha Kambi Popote cha Clouds Tv kinachoruka every wednesday at 9pm. On his birthday 10th Occtober last year alipata nafasi ya kuingia kwenye show ya leo tena ya Clouds Fm kama mgeni, na alipoulizwa 'what's your birthday wish' Alisema 'Natamani serikali initambue kama mtangazaji mwenye uwezo mkubwa, na itambue mchango wangu katika kupromote sekta ya Utalii wa ndani'
     ANTONIO AT MANDELA HOUSE, SOWETO, S.A

   Early April this year, alifanikiwa kuwa awarded na tuzo ya mwanahabari bora wa habari za utalii wa ndani nchini katika hafla ya kutunukiwa vyeti vya umahiri wa habari iliyoandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) na kuhudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete hivi Karibuni katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

   10/08/2012 Antonio got an email kutoka Bodi ya Utalii wakimpongeza kwa kupata tuzo hiyo, na kumtaarifu kuwa wanatambua mchango wake katika kutangaza utalii wa Tanzania na kuhamasisha Watanzania kutembelea vivutio vya utalii nchini.  Kwa kutambua mchango wake, wao kama bodi ya utalii nchini wamemtambua rasmi,wamemtunuku cheti na tuzo maalum ambavyo atakabidhiwa rasmi 17 Agosti 2012 pale ofisi za TTB.
   He says tumepewa mdomo ili tujiumbie mema, mimi nilitabiri lakini pia nilijiwekea baraka katika malengo yangu, kwakuwa niliamini ukiweka nia, hakuna linaloshindikana.. so be careful what you wish so, cause you just mght get it!

KEEP UP THE GOOD JOB NUGAZ, YOU DESERVE IT.
 

Friday, August 10, 2012

TUWEKE NGUVU KATIKA KUWASUPPORT UPCOMING PRODUCERS -HERMY B


This is interesting, hivi unajua kwamba kuna baadhi ya kazi mtu hawezi kuendelea kufanya baada umri fulani kupita?? Kazi kama modelling, acting, singing, etc etc etc... Sasa according to Hermy B, ukiifanya kazi inayohitaji ubunifu, after a while unaishiwa creativity, hivyo unatakiwa kutafuta ustarabu mwingine kimaisha.. Lol! But seriosly ifike time wewe km artist ambae uko kwny game miaka zaidi ya 15, fanya kitu advanced zaidi, km kuproduce muziki au kuwa na agency ya kusaidia upcoming artists. Vilevile producers wa muziki ambao mmeshafanya kazi muda mrefu, kwanini msiinvest katika kuwapa uwezo producers wachanga ambao ni wabunifu zaidi, they have the time, they have the spirit, they have the dedication??

Ramadhan kareem... Stay blessed!

Tuesday, August 7, 2012

THE STORY OF A MFALME AND A MALKIA

Amazon ni kijana wa mji kasoro bahari ambaye ni mmoja kati ya wenye bahati ya kulelewa na bibi. Nasemas bahati because theres something truly amazing about malezi ya bibi, that extra care and kudekezwa and etc etc..

Apparently he says his hit song 'checherumba ' was inspired by the story aliosimuliwa na bibi yake, inayohusu mfalme aitwaye Cheche na malkia aitwaye Rhumba... LOL its a very nice song though

MY NEW MORNING ALARM

Aren't  there just days that you do not feel like getting off your bed? Yaaani hujiskii kwenda kazini wala kucheck texts kwenye simu wala hata kufikiria the thuoght of bringing your feet to the ground?
   Sasa when that happens to me, I usually play a song that motivates me to dance, or better yet, triggrs me off to a dynamic start.. And at the moment, the the number 1 on my list is Kikwasakwasa!! by tazneem.. I cant just stop dancing to the beats, hebu listen to it halafu dance along with me..



An here's the interview she did on our entertainment news show...

Wednesday, August 1, 2012

KWANINI MANAGERS TUSIFORM CHAMA CHETU?? -MANENO


Alimmanage TID enzi hiizooo, kisha akammanage Diamond na baadae Sam wa Ukweli. he recently just terminated his contract with hit artist Rich mavoko kwa sababu ambazo wote wawili wanazielezea kiutofauti but bottom line is Maneno as a manager played a huge role kwenye mafanikio ya hawa wasanii.
   Tatizo kubwa ambalo tunao kwenye music industry is that msanii anaona yeye ni mjauji zaidi kuliko manager. and that the success anayopata ni kutokana na nguvu zake, which is very wrong. imagine manager ndo anayempika msanii, anamset katika njia ambayo anahisi ni rahisi kuuza kazi zake, anambrand kama product ili aweze kumnadi kwenye market, anahangaika kumtafutia producers, sponsors, shows, deals, etc.. manager ndo ambaye anafikiria maslahi ya wasanii, anayaweka mbele hata kabla ya kwake mwenyewe. Iweje msanii anapofanikiwa kuitwa star na kuingiza shs mbili mfukoni anamdharau manager wake? mtu aliemtoa from the lowest?? hii mbayaaa
   Anyways, maneno anadai kwamba haimsumbui kuhama from one artist to another. infact it makes him proud kwamba Diamond is one of the leading bongo artist tulienaye na anatamani kumuona akifika mbali zaidi.
   Here is what he had to say, ''dhana ya kwamba mi najaribu kuwadidimiza wasanii ambao nimevunja nao mkataba si kweli, mimi nafurahia mafanikio yao. tena natamani sana kuwatengeneza TID wengine kama sita hivi, na Diamond wengine kama watano hivi.. ili bongo flava izidi kukua. Lakini mamanager tunadharaulika sana, kwanini tusiunde chama ambacho kitakua na sheria za kutulinda na kutuongoza? hii itatupa msimamo hata  kwa wasanii ambao tunawasaidia halafu baadae wanatuona si lolote, si chochote.."
    Maneno was inspired to manage artists by Dj Venture whom he admires for his dedication and extra effort in working.. he is currently managing watanashati group...
 

Blogger news

Blogroll

About