Pages

Thursday, December 20, 2012

TUESDAY KIHANGA KUTOKA NA TAMTHILIA MPYA MWAKANI

Muongozaji na muingizaji wa filamu za hapa nchini maarufu kama Tuesday Kihanga a.k.a Mr Chuzi mwaka amejipanga upya na anatarajia kutoka na filamu mpya inayokwenda kwa jina la High Heels.Katika filamu imehusisha wasanii mbalimbali mastaa kama Kojack, Jini Kabula,Badi,Kishoka na Rayuu bila kusahau wengineo wazuri.Kwa hiyo kama wewe ni shabiki wa filamu kaa tayari kwa ujio mpya wa filamu hiyo.

0 comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

About