Pages

Thursday, November 8, 2012

LADY JAY DEE ON TV?? WOW...

Lady Jay Dee is going back to her old career, a media personality. all of us are excited to see what she has on the table. But we love the Machozi Jay Dee, are we gonna love the TV Jay Dee?
Baada ya kuweza kuliteka soko la muziki wa Tz kwa hits zake kali kama “Machozi”, “Wangu” na zingine nyingi kupelekea hata kumiliki her own Band, Studio kwa jina la Jag Records bila kusahau mgahawa alioufungua mwaka jana kwa jinala “Nyumbani Lounge“, now Commando Jide is coming to conquer on your Television.
Sasa leo kupitia katika ukurasa wake ali post ujumbe na kusema kwamba soon kipindi chake kitakuwa hewani. ambacho kinakwenda kwa jina la The Diary of Lady J Dee.
According to Gadna, her manager, the show is gonna air on EATV kuanzia Sunday tarehe 18 November, I cant wait.. All the best Jide

0 comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

About