Pages

Wednesday, November 14, 2012

BUI BUI IS BACK KWENYE GAME

Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, muimbaji aliyewahi kutamba nchini, Buibui amerejea tena akiwa chini ya uongozi mpya wa Tanzania Music Power, TMP.
 Latest info ni kwamba TMP ambayo ni jumuia mpya ya mapinduzi iliyoingia rasmi katika kuokoa kizazi cha muziki wa Bongo Fleva Tanzania imeingia makubaliano na msanii huyo ambaye jina lake ni Frank Lewis Katende Kivunike.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari TMP imesema imeingia makubaliano na Buibui baada ya kukiona kipaji chake na juhudi zake katika kufanya kazi ya muziki wa kizazi kipya.Kwa hiyo  wale mashabiki wake wakae mkao wa kumpokea upya katika tasnia hii ya Bongo Flevaa!!!!!!!!!!!!!!!!

0 comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

About