Pages

Thursday, December 20, 2012

UJUMBE KUTOA KWA SUGU KUHUSU HOSPITAL YA RUFAA MKOANI MBEYA HUU HAPA

Msanii mkongwe wa Hip-Hop maarufu kama Sugu hapa nchini baada ya kutamba na baadhi ya ngoma zake kama Mchaka Mchaka, Hayakuwa Mapenzi, Sugu na Hakuna Matata, Mr. II ambae pia ni anafahamika kama Mheshimiwa Joseph Mbilinyi leo kupitia katika ukurasa wake wa facebook inaonyesha kwamba amekerwa na tabia za madaktari wa mkoa wa Mbeya kwa kujali sana rushwa kuliko utu wa watu.
        Sugu ameonesha kukerwa huko pale alipoandika kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema kuwa madaktari wa Mbeya, katika hospitali ya rufaa wamekuwa wakiwaweka wagonjwa POP kwa kiasi cha gharama ya Tshs. 300,000/= hadi laki Tshs. 500, 000/= na kuonesha kuwa amechoshwa na kitendo hicho.
Soma alichoandika hapo chini:

1 comments:

 

Blogger news

Blogroll

About