Mwanamitindo kutoka hapa Tanzania maarufu kama Flavia Matata, siku ya jumamosi iliyopita ameweza kuibuka kuwa mshindi wa tuzo za Face of Africa.Mashindano ya tuzo hizo yalifanyika katika mji wa New York Nchini Marekani.Tuzo hizo utolewa kwa kuwapongeza wa Africa ambao hufanya vizuri katika kazi zao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment