Pages

Wednesday, December 12, 2012

FLAVIAN MATATA ASHINDA TUZO YA FACE OF AFRICA

Mwanamitindo kutoka hapa Tanzania maarufu kama Flavia Matata, siku ya jumamosi iliyopita ameweza kuibuka kuwa mshindi wa tuzo za Face of Africa.Mashindano ya tuzo hizo yalifanyika katika mji wa New York Nchini Marekani.Tuzo hizo utolewa kwa kuwapongeza wa Africa ambao hufanya vizuri katika kazi zao.

0 comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

About