Pages

Wednesday, December 12, 2012

CHEGGE SOON KUANZA KUINGIZA MOVIE YA MWANAYUMBA

Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama Chegge Chigunda anayekubalia hapa Tzee mpaka East Africa kwa ngoma zake kali kama Mwanayumba,Kinomanoma,Mikanda,Mkono mmoja na ngoma nyingine kali sasa
Latest Info kutoka kwa msanii huyu ni kwamba aliamua kuweka wazi kwamba kwa sasa japokuwa  wameshatoka ngoma yao mpya ya kundi inayokwenda kwa jina la Tutaonekanaje na wameshaitoa katika vituo mbalimbali sasa habari nzuri nyingine kutoka katika kundi ili ni kwamba wamepanga mikakati ya kufanya movie yao mpya inayokwenda kwa jina la Mwanayumba.Kwa hiyo wale mashabiki wa Tmk Wanaume Family dzain kama inawahusu hii.

0 comments:

Post a Comment

 

Blogger news

Blogroll

About